Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania ni nini?

Imewekwa: 03 August, 2024
Taasisi ya Elimu Tanzania ni Taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Elimu yenye majukumu ya Kuandaa mitaala, Kuchapisha vitabu, kutoa mafunzo kwa walimu na kufanya tafiti