Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

Uuzaji wa Vitabu

TET hutoa huduma ya kuuza vitabu vya kiada, mitaala, mihtasari ya masomo na machapisho mengine ya kielimu katika ofisi zake za makao makuu zilizoko Mwenge Dar es Salaam na katika vituo vya mauzo vilivyoko Kariakoo - Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tabora na Moshi. Kwa maelezo zaidi kuhusu mahali vilipo vituo vya mauzo ya machapisho ya TET wasiliana na Isack Mwakibete (baruapepe: isack.mwakibete at tie.go.tz, Namba ya Simu  +255754525232).

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania