Uuzaji wa Vitabu 
                        
                    
                
            
                            Uuzaji wa Vitabu 
                        
                    TET hutoa huduma ya kuuza vitabu vya kiada, mitaala, mihtasari ya masomo na machapisho mengine ya kielimu katika ofisi zake za makao makuu zilizoko Mwenge Dar es Salaam na katika vituo vya mauzo vilivyoko Kariakoo - Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tabora na Moshi. Kwa maelezo zaidi kuhusu mahali vilipo vituo vya mauzo ya machapisho ya TET wasiliana (TET HQ DUKANI +255 794 700 115)
 
             
             
                                    