Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

Huduma ya Kumbi za Mikutano

TET inatoa  huduma ya kumbi za mikutano ambazo zinazokodishwa kwa ajili ya kuendesha semina, washa au mikutano. Kumbi hizo zinapatikana katika ofisi za TET makao makuu zilipo Mwenge, barabara ya Ali Hassan Mwinyi.   Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma ya kumbi za mikutano wasiliana na: Mr. Kalistus Chonya (kalitus.chonya@tie.go.tz, 0785-498-858 / 0713-544-932), au Mr. Nsangalufu Joseph Mwaisengela ( 07148888996, nsangalufu.mwaisengela@tie.go.tz).

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania