Dhima na Dira 
                        
                    
                
            
                            Dhima na Dira 
                        
                    Dhima: Kuwezesha mchakato wa utoaji wa elimu iliyo bora kupitia Mitaala bora ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu ya Ualimu.
Dira: Kuwa kitovu cha ubora katika ukuzaji na utekelezaji wa Mitaala chini ya uendeshaji wa wafanyakazi wenye ari na uwezo wa hali ya juu katika fani zao.
 
             
             
                                    