Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

Dhima na Dira

Dhima: Kuwezesha mchakato wa utoaji wa elimu iliyo bora kupitia Mitaala bora ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu ya Ualimu.  

Dira: Kuwa kitovu cha ubora katika ukuzaji na utekelezaji wa Mitaala chini ya uendeshaji wa wafanyakazi wenye ari na uwezo wa hali ya juu katika fani zao.  

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania