ORODHA YA WALIOPENDEKEZWA KUWANIA TUZO YA TAIFA YA MWL. NYERERE YA UANDISHI BUNIFU 
                    
                
            
        
                        ORODHA YA WALIOPENDEKEZWA KUWANIA TUZO YA TAIFA YA MWL. NYERERE YA UANDISHI BUNIFU 
                    
                
                            
                                 07 April, 2025
                            
                    
                         Pakua
                    
                
            Orodha ya washiriki waliopendekezwa kuwania tuzo ya taifa ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu inayotarajiwa kufanyika Aprili 13, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es salaam.
 
             
             
                                    