Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

ORODHA YA WALIOPENDEKEZWA KUWANIA TUZO YA TAIFA YA MWL. NYERERE YA UANDISHI BUNIFU

07 April, 2025 Pakua

Orodha ya washiriki waliopendekezwa kuwania tuzo ya taifa ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu inayotarajiwa kufanyika Aprili 13, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es salaam.

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania