Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

Imewekwa: 06 February, 2025
UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba kuhusu utekelezaji wa Mtaala uli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba kuhusu utekelezaji wa Mtaala ulioboreshwa ulioanza kutekelezwa Januari 2024, pindi alipotembelea banda la Taasisi hiyo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania