Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

Maadhimisho ya Miaka 50 ya TET

01 June, 2025 - 07 June, 2025
06:00:00 - 11:00:00
TIE HQ
director.general@tie.go.tz

MIAKA 50 YA TAASISI YA ELIMU TANZANIA

#KitabuKimojaMwanafunziMmoja

Kuwa sehemu ya maboresho ya Elimu nchini kwa kufanikisha upatikanaji wa vitabu vya Kiada kuanzia Elimu ya Awali mpaka Kidato cha Sita na Kompyuta mpakato maalumu kwa wanafunzi wote wa Kidato cha Tano na Sita katika mikoa kumi ya Tanzania Bara na Zanzibar.

Changia kupitia namba ya malipo 994040118259 yenye jina Taasisi ya Elimu Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0758460508. 

Maadhimisho ya Miaka 50 ya TET
Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania