Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Elimu Tanzania

TANGAZO LA NAFASI ZA UANDAAJI WA MAUDHUI YA KIDIGITI KWA WALIMU WA SEKONDARI

23 October, 2025 Pakua

TET kwa kushirikiana na  Aspire inawaalika Walimu wa shule za Sekondari wa masomo ya  Kiingereza, Hisabati, Biolojia, Kemia, Fizikia na Elimu ya Biashara kwenye utengenezaji wa  maudhui ya Kidigiti.

Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania