|
|
|
|
MAJIBU YA MASWALI YAULIZWAYO MARA KWA MARA: Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ina jukumu la kubuni, kuendeleza na kuboresha mitaala ya shule na vyuo kuanzia ngazi ya elimu ya awali, msingi, sekondari na vyuo vya ualimu. Katika kutekeleza majukumu yake TET imekuwa ikipokea maoni na mapendekezo mbalimbali ya wadau kuhusu utekelezaji wa mitaala hiyo. Vile vile imekuwa ikijibu maswali mbalimbali ya wadau wanaohitaji ushauri au kuelimishwa kuhusu masuala ya mitaala na vifaa vya mtaala kama vile mihtasari, vitabu vya kufundishia na kujifunzia na miongozo. Majibu ya TET kwa maswali yaulizwayo na wadau wanaotaka kujua kuhusu utaratibu wa matumizi ya vitabu vya fasihi vya somo la Kiswahili na English vinavyotumika katika shule na vyuo vya ualimu ni kama ifuatavyo: MDAU: Nifanyeje ili kitabu changu cha fasihi nilichoandika kwa ajili ya shule na vyuo kiweze kuwafikia walengwa?
MDAU: Je, wachapishaji watajuaje kama wanatakiwa kuwasilisha vitabu hivyo Taasisi ya Elimu Tanzania kwa ajili ya tathmini? MDAU: TET inatoa muda gani kuhakikisha kwamba wachapishaji wanawasilisha vitabu vyao kwa kuzingatia muda? MDAU: Je, mchakato wa tathmini ya vitabu vya Fasihi huchukua muda gani hadi kupendekeza orodha inayopelekwa kwa Kamishana wa Elimu? MDAU: Je, mwandishi atapataje taarifa kuwa kitabu chake kimeteuliwa au hakikuteuliwa? MDAU: Je, vitabu vya Fasihi vya somo la Kiswahili na English hutumika muda gani katika shule na vyuo hadi kubadilishwa na kuteuliwa orodha nyingine? Simu: 255-22- 2773005. Nukushi: 255-22- 2774420 Barua pepe: This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it |
| Last Updated on Tuesday, 17 July 2012 08:16 |
PostGraduate Diploma in Curriculum Design and Development Programme for the year 2013/14.
PostGraduate Diploma in Curriculum Design and Development Programme for the year 2013/14 application form.
PostGraduate Diploma in Curriculum Design and Development Programme.
Launching of TIE books writing Project
Tangazo kuhusu punguzo la bei ya vitabu vya MEMKWA






| Today | 176 |
| This Week | 1095 |
| This Month | 4106 |